Nilivyoweza kumuondoa katika michepuko kwa mume wangu tena bila kutumia nguvu
Kutana na Aisha, alikuwa mwanamke kutokea Moshi, mwenye moyo wa upendo na subira isiyo ya kawaida. Aliolewa na Juma, mwanaume aliyekuwa akipendwa sana kutokana na tabasamu lake na ucheshi wake. Mwanzoni mwa ndoa yao, maisha yalikuwa ya furaha, wakishirikiana katika kila jambo. Lakini miaka ilivyozidi kusonga, Aisha alianza kuona mabadiliko kwa mume wake.
Juma alianza kurudi nyumbani usiku wa manane, akiwa na harufu ya manukato ambayo hakuyajua. Simu yake ilianza kulindwa kana kwamba ilikuwa siri ya taifa. Mara kwa mara, Aisha alimuuliza kwa upole, “Mume wangu, kuna tatizo? Kwa nini umebadilika hivi?”
Lakini Juma alikuwa na majibu mafupi tu — “Usinichunguze sana Aisha, kila kitu kiko sawa.”
Aisha hakukata tamaa. Alijitahidi kumpikia chakula kizuri, kuvaa vizuri, hata kujifunza mambo mapya ya kumfurahisha mumewe. Alijua kuwa ndoa inahitaji uvumilivu, na aliamua kupigania yake. Lakini kadri alivyojitahidi, ndivyo Juma alivyozidi kuwa mbali naye. To read more TAP HERE

Post a Comment